Showing posts with label Michezo. Show all posts

Meneja wa Arsenal Arsene Wenger amemtetea mchezaji wa zamani wa klabu hiyo aliyehamia Manchester United baada yake kukosa kipimo muh...

Chama Cha soka cha England FA kimetangaza kumfungia kocha wa club ya Arsenal ya England Arsene Wenger kwa kosa la kutoa maneno yasiokuwa ya ...

Beki wa kati wa Southampton Virgil van Dijk atajiunga na Liverpool wakati wa dirisha la uhamisho tarehe moja mwezi Januari kwa mkataba wa re...

Swansea City wamemteua aliyekuwa mkufunzi wa klabu ya Sheffield Wednesday Carlos Carvalhal kuwa mkufunzi mpya. Kocha mchezaji Leon Britton a...

Nyota wa tenisi Serena Williams atarejea uwanjani huko Abu Dhabi wiki ijayo miezi minne baada ya kujifungua. Serena mwenye umri wa miaka 36,...

Hii ni baada ya timu ya taifa ya Zanzibar Heroes kumaliza nafasi ya pili katika michuano ya Kombe la CECAFA Senior Challenge Cup 2017, ikifu...

a

HARAKATI za klabu ya Singida United ya Mholanzi Hans Pluijm kumnasa straika wa Simba, Juma Liuzio, ni kama zimegonga mwamba kwa sababu Wekun...

Mashabiki wengi wa Barcelona walisikitika sana baada ya Neymar kuwaacha na kujiunga na PSG, Neymar alikuwa mchezaji muhimu katika safu ya us...

KOCHA Mzambia wa Yanga, George Lwandamina ametoa wiki moja ya mapumziko kwa wachezaji wake kufuatia mechi 11 za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania...

Ni furaha kubwa kusikia nchi yenu imefanikiwa kuzibwaga nchi nyingine katika mashindano ya dunia. Shangwe limetawala nchini Afrika Kusini ba...

Matatizo ya Everton chini ya Meneja David Unsworth yameendelea kudhihirika kwenye English Premium League (EPL) baada ya hapo jana kupokea ki...

Mghana Bernard Arthur, mshambuliaji mpya wa Azam FC amewasili asubuhi ya leo Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam t...

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limezitaka Simba na Yanga haraka kupeleka majina ya wachezaji wake kwa Shirikisho la Soka Afrika (Caf) kwa...

Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania bara Kilimanjaro Stars Ammy Ninje, amesema yupo tayari kuwasaidia wachezaji wa Tanzania kwenda kuche...

Beki wa zamani wa Simba, Emily Mugeta ambaye sasa anakipiga katika timu ya daraja la tano nchini Ujerumani, amefanyiwa upasuaji wa bega. Mu...
Powered by Blogger.